Hatuna Mwingine Kama Askofu Ndingi Na Gitari: Hawa wa Leo wanaongozwa na Roho Mtaka Kitu!

Marehemu Askofu Mkuu Raphael Nding’i Mwana Nzeki wa Kanisa Katoliki na Marehemu Askofu David Gitari wa Kanisa la kianglikana watakumbukwa kama makasisi wa Ujasiri mno.  Walisimama Kidete na kupinga utawala wa kidhalimu wa Rais Moi. Askofu Ndingi alikua mtu wa Kimo kidogo, ungemtania kama mtu mnyonge ambaye angetishwa na kunyamazishwa, lakini shujaa alitetea haki ya […]

Kwa Nini Mahasla Wamekugeuka Ruto!

Mheshimiwa Rais, uliposhika hatamu ya uongozi uliinua matumaini kwa wanyonge maarufu kama ‘Mama Mboga na Watu wa Boda Boda’. Kwa ahadi yako, wengi walijitokeza wakaanzisha biashara wakitarajia serikali yako ingewawezesha kusonga mbele, wengi walitarajia uzinduzi wa njia mkopo ili waweze kuinia biashara zao kama ulivyowaahidi. Lakini  kwa sababu zisizoeleweka  ahadi yako ililoa kwa mafuriko tuliyoshuudia […]

HOW THE WRONG IMAGES OF LOVE CAN RUIN OUR LIVES

This is a picture that squarely shows how the wrong images of love might ruin our lives. Abraham Solomon was one of nineteenth century Europe’s most acclaimed painters, far more admired – in his time – than relative unknowns like Van Gogh, Gauguin or Cezanne. Nowadays, we’d be more likely to dismiss him as a […]

error

Enjoy this blog? Please spread the word :)